UISLAM UNAAMINI KITABU GANI

Posted by Unknown



 

Uislam unaamini kitabu gani?

Tunapo ongea kuhusu vitabu vya Mungu. Basi jua kwamba  vitabu vyote ni mali ya waislam. Sababu hakuna kitabu kilishuka kwa kuwaongoza watu nje ya uislam. Na uhalisia ni kwamba kila kitabu kilishuka ili kiwaongoze waislam wa zama hizo.

Qur an 3:3 "aliteremsha taurat na injili zamani ili ziwe uongozi kwa watu"
Vitabu vya Allah ni

1 Taurat
Kitabu hiki kilishuka mlima sinai kupitia nabii Musa.

4:4 malaki " ikumbukeni torati ya musa mtumishi wangu" hapo unaona torati ni ya Musa lakini Musa dini gani?

Zaburi ya daudi jee Daudi dini gani?
1:14 marko injili ya Yesu jee Yesu dini gani?

Qur an Muhammad (saw) jee Muhammad dini gani?
Jibu hawa wote dini yao ni moja

42:13 " amekupeni sharia ya dini ile ile tuliyo muusia Nuhu na tukakufunulia wewe

Na tuka muusia Ibrahim Na Musa Na Issa kwamba simamisheni dini wala msifarikiane kwayo"

Nadhani mpaka hapo tumejua kuwa vitabu hivyo walishushiwa

manabii na manabii hao dini yao ni moja japo walikuja kwa nyakati tofauti.

Jee ipi dini ya manabii???

Na kipi kitabu cha mkiristo?

Mkiristo hana kitabu sababu hana nabii na hakuna nabii Mkiristo.

Usikose mada ipi dini ya manabii.


 

0 comments:

Post a Comment